Msanii wa Tanzania Saraphina maarufu kama @phina_tz amekuwa akikua kimuziki tangu alipoachia kibao chake kinachopendwa na wengi katika uga wa Afrika Mashariki na kati cha ‘Upo Nyonyo’. Phina akitokea ...
Pastory Pascal maarufu kamÄ… @boomtz_ ni msanii wa sanaa ya mazingaombwe ambaye amekuwa akipata wafuasi kila uchwao kutokana na aina ya mazingaombwe yake kuwa ni yale yaliyochangana na vichekesho.